in

Bendera aongoza mazishi ya aliyekuwa katibu mkuu wa BFT

Naibu waziri wa habari, utamaduni na michezo, Joel Bendera jana ameongoza mazishi ya aliyekuwa katibu mkuu wa shirikisho la ngumi Tanzania- BFT, Gaston Mlay.

Akitoa salam zake wakati wa mazishi hayo yaliyofanyika katika makaburi ya kinondoni jijini Dar es salaam, naibu waziri amesema marehemu Mlay atakumbukwa kwa mchango wake mkubwa katika kuendeleza mchezo wa ngumi nchini.

Katika tukio jingine naibu waziri amepokea hundi kutoka kampuni ya bia ya Serengeti yenye thamani ya shilingi milioni tatu, laki saba na 50-elfu, pamoja na tiketi mbili za ndege kwa ajili ya mabondia sita wanaoondoka nchini jumamosi hii kuelekea namibia kwa michuano ya kufuzu kushiriki mashindano ya Olimpik yatakayofanyika nchini China mwaka huu.

  • SOURCE: ITV

Report

Written by Israel Saria

For the last 20 years I have been working as a football pundit. This experience has provided me with a very useful insight into football and the opportunity to carry out extensive research into the game including its players, the stadiums, the rules and tactics and I have also been grateful to meet a wide range of people connected to football in the UK, Tanzania, Germany .....

What do you think?

71 Points
Upvote Downvote

Comments

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Loading…

0

Premier League – Cole apologises to Hutton and Riley

La Liga – Valencia stun Barca in Copa