in

MHE PINDA ATEMBELEA PSPF

*KAFURAHISHWA JINSI RAIA WALIVYOHAMASIKA KUJIUNGA NA MPANGO WA UCHANGIAJI WA HIARI

1pindaWaziri Mkuu, Mheshimiwa Mizengo Pinda akijadiliana jambo na Maafisa wa Mfuko wa Pensheni wa PSPF Bw. Abdul Njaidi (katikati) na Gasper Lyimo jana alipotembelea banda la PSPF katika maonesho ya 39 ya sabasaba yanayoendelea jijini Dar es Salaam. Mheshimiwa Pinda alifurahishwa na juhudi za PSPF za kuhakikisha idadi kubwa ya watanzania wanaingia katika hifadhi ya jamii.
——————————————————————————————————————————

pspf2Mhandisi Alli Shanjirwa akitoa maelezo kwa mmoja wa wateja waliotembelea katika banda ya PSPF katika maonesho yanayoendelea katika viwanja vya maonesho ya biashara vya kimataifa vya Mwalimu Nyerere.
——————————————————————————————————————————–

Pspf4Maafisa wa PSPF Rahma Ngassa (kushoto) na Colleta Mnyamani wakitoa maelezo kwa wateja waliotembelea banda la PSPF katika maonesho ya 39 ya kamataifa ya Dar es Salaam, yanayoendelea jijini Dar es Salaam.
——————————————————————————————————————————

5.pspfMaafisa wa wakitoa maelezo kwa wateja waliotembelea banda la PSPF katika maonesho ya 39 ya kamataifa ya Dar es Salaam, yanayoendelea jijini Dar es Salaam.

Report

Written by Israel Saria

For the last 20 years I have been working as a football pundit. This experience has provided me with a very useful insight into football and the opportunity to carry out extensive research into the game including its players, the stadiums, the rules and tactics and I have also been grateful to meet a wide range of people connected to football in the UK, Tanzania, Germany .....

What do you think?

71 Points
Upvote Downvote

Marekani yaomba kupelekewa

Tanzania Sports

Baada ya Arsenal kumsajili Petr Cech, je nani afuate?