in

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda azindua huduma mpya PSPF ni ‘Fao la Uzazi’

Waziri Mkuu Mizengo Pinda, akitoa hotuba ya ufunguzi wa mkutano mkuu wan ne wa wanachama na wadau wa Mfuko wa Pensheni wa PSPF, mjini Dodoma, Jumatano Feb 18, 2015

Waziri Mkuu Mizengo Pinda. Akizindua huduma mpya itolewayo na Mfuko wa Pensheni wa PSPF, ya Fao la Uzazi, mwanzoni mwa mkutano mkuu wa wadau na wanachama wa Mfuko huo mjini Dodoma jana. Wanaoshuhudia kutoka kulia, ni naibu waziri wa fedha, Adam Malima, Mwenyekiti wa bodi ya Mfuko huo, GHeorge Yambesi, Mkurugenzi Mkuu wa PSPF, Adam Mayingu, na mkuu wa mkoa wa Dodoma, Chiku Galawa

PINDA3

Waziri mkuu Mizengo Pinda, (Kushoto), naibu waziri wa fedha, Adam Malima, (Kulia), Mwenyekiti wa bodi ya Mfuko wa Pensheni wa PSPF, George Yambesi, (wapili kulia), Mkurugenzi Mkuu wa PSPF, Adam Mayingu, (watatu kulia) na mkuu wa mkoa wa Dodoma, Chiku Galawa, wakiangalia picha ya mama na motto ikiwa ni alama ya juzinduzi wa fao jipya lla uzazi litakalokuwa likitolewa na mfuko huo. Tukio hili lilikuwa mwanzoni mwa mkutano mkuu wan ne wa wanachama na wadau wa Mfuko huo mjini Dodoma jana.

mv

Waziri mkuu Mizengo Pinda, akimpongeza Zainab Khalid, mmoja kati ya wanachama wa Mfuko wa Pensheni wa PSPF, aliyefaidika na mkopo wa elimu ambapo sasa anasoma chuo kikuu Huria jijini Dar es Salaam. Tukio hilo lilikuwa sehemu ya ufunghuzi wa mkutano mkuu wan ne wa wadau na wanachama wa Mfuko huo mjini Dodoma Jumatano Februari 18, 2015

Wajumbe wa bodi
PINDA44

Baadhi ya wajumbe wa bodi ya Mfuko wa Pensheni wa PSPF, waliopita na wa sasa, wakipiga makofi wakati waziri mkuu Mizengo Pinda, wakati akifungua mkutano mkuu wa Nne wa wadau na wanachama wa Mfuko huo mjini Dodoma, Jumatano Februari 18, 2015

Pinda_Mayingu_Yambesi
YEMBESI

Waziri mkuu Mizengo Pinda, (Kushoto), akipeana mikono na Mkurugen zi Mkuu wa Mfuko wa Pensheni wa PSPF, Adam Mayingu, huku Mwenyekiti wa bodi ya Mfuko huo, George Yambesi, (Kulia), na Mkuu wa mkoa wa Dodoma, Chiku Galawa wakishuhudia, wakati wa ufunguzi wa mkutano mkuu wa 4 wa wanachama na wadau wa Mfuko huo mjini Dodoma, Jumatano Feb 18, 2015

Report

Written by Israel Saria

For the last 20 years I have been working as a football pundit. This experience has provided me with a very useful insight into football and the opportunity to carry out extensive research into the game including its players, the stadiums, the rules and tactics and I have also been grateful to meet a wide range of people connected to football in the UK, Tanzania, Germany .....

What do you think?

71 Points
Upvote Downvote

Comments

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Loading…

0

Chelsea sare na PSG

Ronaldo ang’ara Real wakiwapiga Schalke