in

PSPF-Kikao kazi na watumishi wa Manispaa, Dar, Pwani..

Mkurugenzi Mkuu wa PSPF, Adam Mayingu, akitoa hotuba ya utangulizi wakati wa kikao kazi cha siku moja ya maafisa na wakuu wa idara za Halmashauri za miji na Manispaa za mikoa ya Dar es Salaam na Pwani, iliyofanyika makao makuu ya PSPF jijini Dar es Salaam, Alhamisi Machi 26, 2015.

Vipeperushi
Vipeperushi
Baadhi ya washiriki wa kikao kazi cha siku moja cha maafisa na wakuu wa idara za halmashauri za miji na Manispaa za Dar es Salaam na Pwani, wakisoma vipeperushi vyenye maelezo ya huduma mbalimbali za Mfuko wa Pensheni wa PSPF, wakati wa warsha hiyo iliyoandaliwa na Mfuko huo na kufanyika makao makuu ya PSPF jijini Dar es Salaam Alhamisi Machi 26, 2015

crowd

Profesa Hermans
Profesa Hermans Mwansoko, Mkurugenzi wa Idara ya Maendeleo ya Utamaduni, Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni, na Michezo, akitoa hotuba ya ufunguzi wa kikao kazi cha siku moja kwa maafisa na wakuu wa idara za Halmashauri na Manispaa za Dar es Salaam na Pwani, kilichoandaliwa na Mfuko wa Pensheni wa PSPF, na kufanyika makao makuu ya Mfuko huo jijini Dar es Salaam, Alhamisi Machi 26, 2015

Profesa Hermans Mwansoko

Andrew Mkangaa
Mkurugenzi wa Tehama wa Mfuko wa Pensheni wa PSPF, Andrew Mkangaa, (katikati), akiongoza kipindi cha maswali na majibu wakati wa kiikao kazi cha siku moja kilichoandaliwa na Mfuko huo kwa maafisa na wakuu wa idara za halmashauri za miji na manispaa za Dar es Salaam na Pwani, na kufanyika makao makuu ya PSPF jijini Dar es Salaam Alhamisi Machi 26, 2015. Kulia ni Mkurugenzi wa Uendeshaji, Neema Muro na kushoto ni Mkurugenzi wa Uwekezaji, Gabriel Silayo

Andrew Mkangaa

Tina2
Meneja Masoko na Mawasiliano, wa Mfuko wa Pensheni wa PSPF, Contatina Martin, akizungumza kwenye kikao hicho
tina2

Ibrahim Maftaha
Meneja wa Actuarial Service and Risk Mnagement wa Mfuko wa Pensheni wa PSPF, Ibrahim Maftaha, akitoa mada kwenye kikao hicho
Ibrahim Maftaha

Gabriel Silayo
Gabriel Silayo, Mkurugenzi wa Uwekezaji wa Mfuko wa Pensheni wa PSPF, Gabriel Silayo, akitoa mada kuhusu uwekezaji wa Mfuko huo, wakati wa kikao kazi hicho
Gabriel Silayo

Report

Written by Israel Saria

For the last 20 years I have been working as a football pundit. This experience has provided me with a very useful insight into football and the opportunity to carry out extensive research into the game including its players, the stadiums, the rules and tactics and I have also been grateful to meet a wide range of people connected to football in the UK, Tanzania, Germany .....

What do you think?

71 Points
Upvote Downvote

Comments

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Loading…

0

Bilioni kwa klabu za EPL

AZAM, SIMBA, YANGA ZAPIGWA FAINI