in

Rais Jakaya Kikwete afungua majengo pacha ya PSPF

????????????????????????????????????

Rais Kikwete akiwa katika picha ya pamoja na Waziri wa Kazi na Ajira, Gaudentia Kabaka, (wapili kulia), naibu waziri wa fedha, Adam Malima, (watatu kulia), Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Said Mecky Sadick, (wakwanza kulia), Mwenyekiti wa Bodi ya Wadhamini ya Mfuko wa Pensheni wa PSPF, George Yambesi, (wapili kushoto), Mkurugenzi Mkuu wa PSPF, Adam Mayingu, (wakwanza kushoto), katika picha ya pamoja kamati ya maandalizi ya sherehe za ufunguzi wa majengo pacha ya PSPF, jijini Dar es Salaam

———————————————————————————————————————————————————————————-

BI Rais akipokea picha ya majengo pacha kutoka kwa Mwenyekiti wa Bodi ya Wadhamini

Rais Jakaya Kikwete, akipokea picha ya majengo pacha kutoka kwa Mwenyekiti wa Bodi ya Wadhamini

Tukio la Rais kujiunga na Mpango huo lilikwenda sambamba na uzinduzi wa majengo pacha ya kitegauchumi ya Mfuko, kwenye barabara ya Sokoine jijini Dar es Salaam leo Jumatano Septemba 16, 2015. Majengo hayo yenye ghorofa 35 yamegharimu kiasi c ha shilingi Bilioni 139.2

 

————————————————————————————————————————————————————————–

RAIS Jakaya Kikwete, (kulia), akipokea mfano wa kadi ya kujiunga na Mpango wa Uchagiaji wa Hiari wa Mfuko wa Pensheni wa PSPF, kutoka kwa Mwenyekiti wa Bodi ya Wadhamini ya Mfuko huo, George Yambesi.
RAIS Jakaya Kikwete, (kulia), akipokea mfano wa kadi ya kujiunga na Mpango wa Uchagiaji wa Hiari wa Mfuko wa Pensheni wa PSPF, kutoka kwa Mwenyekiti wa Bodi ya Wadhamini ya Mfuko huo, George Yambesi, huku Mkurugenzi Mkuu wa PSPF, Adam Mayingu, akishuhudia

————————————————————————————————————————————————————————–

advertisement
Advertisement

Report

Written by Israel Saria

For the last 20 years I have been working as a football pundit. This experience has provided me with a very useful insight into football and the opportunity to carry out extensive research into the game including its players, the stadiums, the rules and tactics and I have also been grateful to meet a wide range of people connected to football in the UK, Tanzania, Germany .....

What do you think?

71 Points
Upvote Downvote
Tanzania Sports

ARSENAL YAZAMISHWA UGENINI (CL)

MZUNGUKO WA PILI LIGI KUU BARA