in

Rais J. M. Kikwete na wanamichezo..

Pamoja na kuwa ratiba ya Rais wa nchi yeyote duniani kuwa ngumu kukutana na wale wote wanaopenda kukutana naye, kwa Rais Jakaya Kikwete, ni tofauti kidogo. Alipokuwa London hivi karibuni kwa safari ya kikazi tulipata nafasi mimi na mwenzangu Mariam Komanya kumsalimia Mhe Rais Jakaya Kikwete. Kwa kuonyesha kuwa anatukumbuka, alianza kwa kumuuliza Mariam…”Hujamaliza shule tu…..

Nami akaniuliza vipi Arsenal? kwa kuelewa kuwa mimi nina mapenzi na timu ya Arsenal, na baadaye nikamuuliza Mhe Rais, kama anasikiliza kipindi cha ulimwengu wa soka, kinachotangazwa na Idhaa ya Kiswahili ya BBC toka London, ambapo mimi ni mmoja wa wachambuzi wa masuala ya michezo ya kipindi hicho, akajibu ndio nawasikiliza sana, na kufuatilia masuala ya michezo mnayotangaza.

Kwa hakika tulifarijika sana, na kuona fahari kuwa Mtanzania nje ya nchi yako na rais wako anapata muda wa kujua kile unachokifanya.

Report

Written by Israel Saria

For the last 20 years I have been working as a football pundit. This experience has provided me with a very useful insight into football and the opportunity to carry out extensive research into the game including its players, the stadiums, the rules and tactics and I have also been grateful to meet a wide range of people connected to football in the UK, Tanzania, Germany .....

What do you think?

71 Points
Upvote Downvote

Comments

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Loading…

0

The good thing about going places in London is meeting VIPs. Last week it was President Kikwete, today was John Obi Mikel. Who knows next who one will bump into!

Kayuni clarifies his role at TFF