in

MAWAKALA WA FORODHA TANZANIA WAJIUNGA NA PSPF

KATIBU Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu, Florence Turuka, akihutubia wanachama wa chama cha mawakala wa forodha Tanzania (TAFFA), mwishoni mwa wiki jijini Dar es Salaam wakati wa ufunguzi wa mkutano mkuu wa TAFA kwenye ukumbi wa Karimjee .

———————————————————————————————————————————————————-

2
Meneja Masoko, Mawasiliano na Uenezi wa Mfuko wa Pensheni wa PSPF, Costantina Martin, akiwaeleza wanachama wa Chama cha mawakala wa forodha Tanzania TAFA, juu ya hufuma mbalimbali zitolewazo na Mfuko huo, wakati wa mkutano mkuu wa TAFFA jijini Dar es Salaam. PSPF na TAFFA wamefungua ukurasa mpya wa mahusiano ambapo wanachama kadhaa wa TAFA walijiunga na Mfuko huo

 

———————————————————————————————————————————————————-

3
Viongozi wakuu wa TAFFA, wakionyesha kadi za uanachama wa mpango wa uchangiaji wa hiari kwenye Mfuko wa Pensheni wa PSPF, (PSS), baada ya kukuunga wakati wa mkutan o mkuu wa mwaka wa TAFFA. Kulia ni Meneja Matekelezo wa PSPF, Francis Mselem, Meneja Masoko, Mawasilioano na Uenezi, Costantina Martin (wapili kushoto) na meneja wa mpango wa uchangiaji wa hiari (PSS), Mwanjaa sembe

———————————————————————————————————————————————————-

 

 Baadhi ya wanachama wa TAFFA wakiwa kwenye mkutano huo

Baadhi ya wanachama wa TAFFA wakiwa kwenye mkutano huo

———————————————————————————————————————————————————–

Advertisement
Advertisement

———————————————————————————————————————————————————-

Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu, Florence Turuka, akisikiliza maelezo kuhusu huduma mbalimbali zitolewazo na Mfuko wa Pensheni wa PPF, kutoka kwa afisa wa Mfuko huo, Delphin Richard, mara baada ya kufungua mkutano mkuu wa TAFFA, ambapo PSPF ilitumia fursa hiyo kueleza shughuli zake .
Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu, Florence Turuka, akisikiliza maelezo kuhusu huduma mbalimbali zitolewazo na Mfuko wa Pensheni wa PPF, kutoka kwa afisa wa Mfuko huo, Delphin Richard, mara baada ya kufungua mkutano mkuu wa TAFFA, ambapo PSPF ilitumia fursa hiyo kueleza shughuli zake .

Report

Written by Israel Saria

For the last 20 years I have been working as a football pundit. This experience has provided me with a very useful insight into football and the opportunity to carry out extensive research into the game including its players, the stadiums, the rules and tactics and I have also been grateful to meet a wide range of people connected to football in the UK, Tanzania, Germany .....

What do you think?

71 Points
Upvote Downvote
Tanzania Sports

NI WAKATI WA LUCHO KUTHIBITISHA UBORA WAKE

Tanzania Sports

YALIYOJIRI VIWANJANI LIGI YA MABINGWA