in , , ,

CHILE WAWALIZA AUSTRALIA

 

Katika matokeo ya mechi ya usiku wa Ijumaa hii, Chile waliwaliza Australia kwa kuwafunga mabao  3-1.

ushindi wa Chile uliokuja baada ya Uholanzi kuwafunga Hispania 5-1 kwenye mechi ya awali umewatupa mabingwa watetezi Hispania katika nafasi ya mwisho.
Itabidi waamke katika mechi zinazofuata iwapo watataka kurejesha heshima yao na kufuzu kwa hatua za mtoano.

Report

Written by Israel Saria

For the last 20 years I have been working as a football pundit. This experience has provided me with a very useful insight into football and the opportunity to carry out extensive research into the game including its players, the stadiums, the rules and tactics and I have also been grateful to meet a wide range of people connected to football in the UK, Tanzania, Germany .....

What do you think?

71 Points
Upvote Downvote

Comments

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Loading…

0

Harambee Stars kwenda Kombe la Dunia

Columbia wawaadhiri Ugiriki