in , , ,

Arsenal, Chelsea ngoma nzito

Mchezo ulikuwa doro..

 

Arsenal na Chelsea wamegawana pointi moja moja katika mechi muhimu na kuwaacha Liverpool kileleni.

Katika mechi hiyo ngumu katika dimba la Emirates, Arsenal walicheza vyema na kunyimwa penati baada ya Theo Walcott kuchezewa rafu.

Kadhalika Cesar Azpilicueta alifanikiwa kuokoa bao lililoelekezwa kimiani na Bacary Sagna kwa kichwa.

Kwa matokeo hayo, Arsenal wanakuwa katika nafasi ya pili nyuma ya Liverpool licha ya kuwa wamefungana kwa pointi.

Man City wapo nafasi ya tatu kwa pointi 35 wakati Chelsea na Everton wanazo 34 kila mmoja.

Mkiani mwa ligi wapo Crystal Palace na fulham wenye pointi 13 kila mmoja na Sunderland wenye pointi 10.

Report

Written by Israel Saria

For the last 20 years I have been working as a football pundit. This experience has provided me with a very useful insight into football and the opportunity to carry out extensive research into the game including its players, the stadiums, the rules and tactics and I have also been grateful to meet a wide range of people connected to football in the UK, Tanzania, Germany .....

What do you think?

71 Points
Upvote Downvote

Comments

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Loading…

0

Everton watinga nne bora

Selestin Mwesigwa katibu mpya TFF