in

Kumbukumbu ya Kombe la Dunia Afrika Kusini 2010

Mwaka 2010, ulikuwa ni mwaka muhimu sana katika historia ya soka Duniani, Bara la afrika kupitia Nchi ya Afrika Kusini( South Africa) iliweza kuwa mwenyeji wa fainali hizo muhimu sana, kwa bahati nzuri na asante sana kwa BBC Idhaa ya Kiswahili, nilikuwa mmoja wa mashuhuda wa fainali hizo. Hapa ni baadhi ya picha nilizozipata nikiwa huko.

Report

Written by Israel Saria

For the last 20 years I have been working as a football pundit. This experience has provided me with a very useful insight into football and the opportunity to carry out extensive research into the game including its players, the stadiums, the rules and tactics and I have also been grateful to meet a wide range of people connected to football in the UK, Tanzania, Germany .....

What do you think?

71 Points
Upvote Downvote

Comments

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Loading…

0

UMISSETA yaweza kuchanua zaidi

Ziara ya Heysel Stadium, Ubelgiji