It is hard to believe but during my young ages I was always hearing one radio commentator that the Egyptians were the first people to tame domestic cats I believe and still believe the...
*Vyama vya michezo inabidi viwe vibunifu. *Mazingira ya Nchi yanaruhusu wanamichezo kufanya vizuri. Kwa siku kadhaa sasa, mjadala ambao unatawala miongoni mwa Watanzania wengi ni matokeo mabaya ya mtihani wa kumaliza kidato cha...
HAKUNA ubishi kwamba Shirikisho la Soka Ulimwenguni (FIFA) lilipotoa maelekezo kwamba masuala ya soka yasiingiliwe na serikali na yasifikishwe Mahakamani, lilikusudia kufanya soka ibaki soka ikiwa huru kabisa ikiamua mambo yake yenyewe na...
I just wanted to take a few minutes to say thank-you for your awesome support throughout the year, and, wish you a Merry Christmas and a happy New Year. I hope it brings you all...
*Ukame wa medali kwa miaka 22 ufike mwisho *Uchaguzi uwe fursa kwa waliosomea michezo Mchakato umeanza kwa ajili ya kupata safu mpya ya viongozi wa Kamati ya Olimpiki Tanzania (TOC). Uchaguzi mkuu wa chombo...
Nikiwa njiani kutoka Morogoro kulikokuwa kukifanyika mashindano yaTaifa kutafuta klabu bingwa nchini mpira wa wavu napokea simu kutoka kwa Mwinga Mwanjala Afisa Utawala wa Kamati ya Olimpiki Tanzania akinieleza rafiki yako Erasto Zambi hatuko...
+ Read more | Comments Off
*Sherehe za ufungaji zafana, hotuba zakuna wadau Dunia imedhihirisha kwamba wenye ulemavu wakiwezeshwa, wanaweza kufanya makubwa yasiyomithilika. Wanaodhani kwamba wana miili iliyo kamili na kuwatazama wenye ulemavu kama wa daraja la pili, wamebaini kwamba...
+ Read more | Comments Off
*Ajivunia mataji 38 kwa miaka 26 *Maswali ya atakayemrithi yatanda Mtikisiko umeukumba ulimwengu wa soka, baada ya tamko la kocha mkuu wa Manchester United, Sir Alex Ferguson kwamba ameamua kung’atuka. Mwangwi wa uamuzi na...
*Ni hatua muhimu katika kukuza soka la kinamama Utangulizi: Awali ya yote napenda kuchukua nafasi hii kwa niaba ya kamati ya utendaji ya TWFA kuwashukuru wajumbe wa mkutano mkuu kwa kutupa ridhaa ya kuongoza...
Bujumbura, Burundi, February 25, 2013- Kenyan men and women’s beach volleyball teams swept the boards winning both gold medals in an invitational tournament held in Bujumbura, Burundi on February 23-24, 2013. Kenyan women’s team...
Tanzania Paralympics Committee (TPC) says they are looking for 8m/- to send the country wheelchair tennis national team to Kenya for one week BNP Paribas East African qualifier slated for January 15- 20 in...
Mkuu wa Masoko na Mawasiliano wa Benki ya NMB, Imani Kajula (pili kulia) akimkabidhi Meya wa Manispaa ya Kinondoni, Yusufu Mwenda(pili kushoto) msaada wa vifaa vya michezo vyenye thamani ya Sh milioni 10/- kwa...
+ Read more | Comments Off
National Sports Council of Tanzania (NSC) TANCOT HOUSE, SOKOINE DRIVE/PAMBA ROAD 2ND FLOOR P. O. Box 20116 Dar es Salaam. Tanzania Tel. +255 22 2111943/713 329409 Fax: + 255 22...
+ Read more | Comments Off
The Tanzania Paralympics Committee (TPC) is extending its web in search of sponsorship packages that would help to implement some of the development programs in primary and secondary schools. TPC president Johnson Meela...
+ Read more | Comments Off



















